Mavokali x Jux – Wapo (Official Audio)



WAPO LYRICS

Nishajipa sasa mi stress za nini
Nishajipata nipeni nafasi
Matumizi ya kwangu nyie inawaudhi nini
Kelele za nini jama inawauma nini

Wewe una wako, mimi nina wangu
Wivu wa nini, wivu wa nini
Pesa za kwako, mimi nina zangu
Chuki za nini, chuki za nini Ahyaaaaa

Kelele kelele keleleeh
Wanahoji kwanini, wanahoji kwanini

Kelele kelele keleleeh
Wanauliza kwanini, wanahoji kwanini

Wabaya wapo, wapo, wapo
Wabaya wapo usione awaongei
Wabaya wapo, wapo, wapo
Wabaya wapo usione awaon

Mmh , kuna nyinyi alafu kuna yeye baba
Kuna mimi alafu kuna wewe eeeh
Kama yako, yako ipo siku utapata
Now is my time mimi nimejipata

Hivi sasa nina trip za bubai
Na Magoma yana hit everyday
Cha ajabu baba
God uwaga akosei simnaona
Na nilivyomnyonge wala siongei
Wanaficha kete sipotei
Na hata pande zao uwaga sitokei
Hutoniona mmmh mmmh

Wabaya wapo, wapo, wapo
Wabaya wapo usione awaongei
Wabaya wapo, wapo, wapo
Wabaya wapo usione awaon

Kelele kelele keleleeh
Wanahoji kwanini, wanahoji kwanini
Kelele kelele keleleeh
Wanauliza kwanini, wanahoji kwanini

mavokali10@gmail.com

source

Related posts

What are your old beliefs costing you?

African village morning routine in the desert//full documentary

17000 YouTube Subscribers and Youtube Changes for 2015

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Read More